WACHEZA KAMARI WACHAPWA BAKORA MSIKITINI
07:00 |
Watu nane walichapwa bakora mbele ya watu 1,000 ndani ya msikiti nchini Indonesia baada ya kuvunja sheria ya Kiislamu kwa kucheza kamari.
Mwendesha mashtaka wa nchi, kwenye jimbo la Aceh, kaskazini-magharibi mwa Sumatra, alisoma adhabu hiyo mbele ya mtu aliyejifichwa uso akiwa amevaa nguo ndefu ya hudhurungi.
Akitumia fimbo nyembamba ya mti wa mpingo, aliwachapa kwenye makalio watu hao fimbo tano kila mmoja.
Watu hao walichapwa bakora tano kila mmoja kwa fimbo ya mti wa mpingo katika eneo la msikiti wa jimbo la Aceh, Indonesia.
Msikiti ulijawa na watu wakati wa adhabu hiyo iliyofuatiwa na ibada ya Ijumaa asubuhi.
Adhabu hiyo ya fimbo ilifuatia baada ya kukamatwa watu tisa kwa kucheza kamari mwezi Julai. Polisi walikamata kisasi cha pauni 80 (208,000) kutoka kwa watu hao.
Adhabu hiyo ilifanywa na mtu aliyekuwa amevaa nguo ndefu ya hudhurungi baada ya mashtaka kusomwa na mwendesha mashtaka wa nchi.
Mmoja wao hakuweza kuchapwa kwa sababu ya afya yake ila atakabiliana na adhabu hiyo atakapopona, alisema mwendesha mashtaka wa nchi Nurhalma ambaye anatumia jina moja tu.
Related Posts:
MAAJABU YA MUNGU HUYU NDIYE MTU MWENYE MIKONO MIKUWA ZAIDI DUNIANI She is thought to have the world’s biggest hands.For more than 50 years, Duangjay Samaksamam, from Thailand, has suffered from an extremely ra… Read More
WACHEZA KAMARI WACHAPWA BAKORA MSIKITINI Watu nane walichapwa bakora mbele ya watu 1,000 ndani ya msikiti nchini Indonesia baada ya kuvunja sheria ya Kiislamu kwa kucheza kamari. Mwe… Read More
NI SHIDAAA:: CHEKI MSURURU WA WATU WAKIWA NA FULL SHANGWE YA KUISHIKA IPHONE 6 Mashabiki wa Apple Ijumaa hii wamezishika simu zao mpya za iPhone 6 baada ya kungojea kwa siku kadhaa nje ya maduka yanayouza simu. Hata hivyo… Read More
MAJANGA:MWANANKE AFANYA MAPENZI NA SAMAKI ::CHEKI ALICHOSEMA Mwanamke aliyefanya mapenzi na samaki aina ya Dolphin aongea kwa mara ya kwanza. Unaweza kushangaa na kuona ni kitu cha ajabu lakini hii ime… Read More
CHUI AMSHAMBULIA MWANAFUNZI HADI KUMUUA. Picha ya maktana chui akimshambuliaji binadamu.Chui Buka au 'Tiger', amemshambulia na kumuua mwanafunzi nchini India katika hifadhi ya wany… Read More