HABARI MPYA
Tuesday, 3 February 2026
Friday, 16 January 2026
MAMBO MUHIMU KWA VIJANA WENZANGU.!

– Kuoa/kuolewa msichana/mvulana mdogo sana ambaye atakuona unamzeesha
– Kuoa /kuolewa chapchap bila kuwaza
-Kuokoteza magonjwa ya hatari
– Kunogewa na usela na kusahau kuoa/kuolewa
Tuesday, 13 January 2026
MBINU SITA (6) SAHIHI ZA KUWEKA AKIBA ZAIDI NA KUWEKEZA VIZURI.
07:37 |
No Comments |
Saturday, 10 January 2026
NJIA ZA KUKABILIANA NA UCHOVU MWINGI
10:26 |
No Comments |

1. CHUNGUZA MAMBO UNAYO YAPA KIPAUMBELE.
3. JIFUNZE KUFANYA KAZI KWA KIASI.
4. UWE NA MUDA WA KUPUMZIKA.
Thursday, 8 January 2026
TRUST ME,WE NEED OTHER PEOPLE TO BE HAPPY::HERE IS WHY
Hello !! Time has gone by since I last drooped to you through this platform. I have to admit that I missed these moments and now thank God I am back and rolling.
When analyzing the role of those around us towards happiness i realized that for a lot of people, 2022 meant trying times. And divisiveness. We fought with politicians, neighbors, family, friends, the media, men and strangers we’ve never even met, thanks to social media.
1. Being around other people makes us healthier.

3. Psychologically, we prefer to go through life NOT alone.
4. When we’re around people who drive us crazy, we grow.
DO IT BETTER: Being grateful for the people around us helps
Monday, 13 October 2025
TCAA Yakabidhi Kisima cha Maji Shule ya Msingi Kiwanja cha Ndege Dodoma
11:41 |
No Comments |
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa TCAA, Dkt. Hamis Mwinyimvua, akikata utepe kuashiria ufunguzi wa kisima cha maji safi kilichojengwa kwa ufadhili wa TCAA kwa Shule ya Msingi Kiwanja cha Ndege.
Dodoma, — Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imekabidhi rasmi kisima cha maji safi na salama katika Shule ya Msingi Kiwanja cha Ndege jijini Dodoma, ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake iliyotolewa mwaka 2023 na sehemu ya juhudi za kurudisha kwa jamii na kuboresha mazingira ya elimu nchini.
Hafla hiyo ilifanyika sambamba na maadhimisho ya jubilee ya miaka 50 ya shule hiyo na mahafali ya wanafunzi wa darasa la saba, tukio lililohudhuriwa na wazazi, walimu, wanafunzi pamoja na viongozi mbalimbali wa elimu na serikali.
Akizungumza katika hafla hiyo, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa TCAA, Dkt. Hamis Mwinyimvua, alisema taasisi hiyo itaendelea kuwa mlezi wa Shule ya Msingi Kiwanja cha Ndege na kusaidia kutatua changamoto mbalimbali zinazoikabili shule hiyo hatua kwa hatua, ikiwa ni sehemu ya jitihada za TCAA za kurejesha kwa jamii.
“TCAA itabaki kuwa mlezi wa shule hii. Tutazidi kushirikiana na uongozi wa shule kutatua changamoto mbalimbali taratibu, ili kuhakikisha mazingira bora ya kujifunzia yanadumu. Maji ni uhai, na tunataka kila mwanafunzi hapa ajifunze katika mazingira safi na salama,” alisema Dkt. Mwinyimvua.
Kwa upande wake, Afisa Elimu Kata, Bi. Prisca Barnabas, aliishukuru TCAA kwa mchango huo muhimu na kuahidi kuhakikisha miundombinu ya maji inatunzwa kwa manufaa ya wanafunzi na jamii.
“Tunatoa shukrani za dhati kwa TCAA kwa kujali elimu. Tutahakikisha kisima hiki kinatumika ipasavyo na kudumu kwa muda mrefu,” alisema Bi. Prisca.
Naye Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Cassian Henry, alisema kisima hicho kitarahisisha upatikanaji wa maji na kuboresha mazingira ya usafi na utunzaji wa bustani za shule.
“Kisima hiki ni msaada mkubwa kwetu. Kitatupa uwezo wa kudumisha usafi, kupunguza gharama, na kufanya shule yetu kuwa mazingira bora ya kujifunzia,” alisema Mwalimu Henry.
Katika kuadhimisha miaka 50 tangu kuanzishwa kwa shule hiyo, Dkt. Mwinyimvua alipanda mti katika eneo la shule kama ishara ya utunzaji wa mazingira na kumbukumbu ya tukio hilo la kihistoria.
Kisima hicho chenye thamani ya zaidi ya Shilingi Milioni 20, kinatarajiwa kutatua changamoto ya maji kwa wanafunzi, walimu, na wakazi wa jamii inayozunguka shule hiyo.




.jpg)
.jpg)
.jpg)

.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
