HIVI NDIVYO ILIVYOKUA MAHAKAMANI KESI YA MADAWA YA KULEVYA INAYOMKABII CHID BENZ!
Chid Benz (kushoto mwenye shati la bluu) akiingia katika lango la mahakama.
Msanii huyo anakabiliwa na kesi ya kukamatwa na madawa ya kuletvya katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jiji Dar es Salaam wakati akisafiri kuelekea mkoani Mbeya kwa ajili ya kutumbuiza.
Upande wa mashitaka ukiongozwa na mawakili wawili Ofmed Mtenga na Leonard Challo mbele ya Hakimu Waliarwanda Lema, umesema upelelezi bado haujakamilika nakutaja tarehe ya kusikilizwa kesi hiyo Desemba mosi.
-gGPL