HABARI MPYA

Thursday, 20 March 2025

TCRA KUSHIRIKIANA NA TBN KUSADIA KUZALISHA MAUDHUI YENYE TIJA

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeahidi kufanyakazi na Mtandao wa Wana Blogu Tanzania (TBN), pamoja na vyama vingine vya waandishi wa habari ambavyo vinawakilisha mahitaji na matakwa ya wanachama wao.Kauli hiyo imetolewa Machi 19, 2025 Jijini Dar es Salaam na Meneja wa Huduma za Utangazaji wa...

Monday, 20 January 2025

KAIMU KURUGENZI MKUU TCAA ATOA ELIMU MAONESHO YA MIAKA 61 YA MAPINDUZI ZANZIBAR

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Bi. Flora Alphonce akitoa elimu kwa wananchi waliofika katika banda la TCAA  kwenye maonesho ya maadhimisho ya miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Nyamanzi Mnamo Januari 6, 2025, Kaimu...

WAZIRI JAFFO AIPONGEZA TCAA KWA UFANISI SEKTA YA USAFIRI WA ANGA

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani S. Jafo, akiwa katika banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)Timu  ya maonesho ya TCAA ikiendelea kuwahudumia na kutoa elimu kuhusu fursa mbalimbali katika sekta ya usafiri wa anga.Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani S....

Monday, 26 August 2024

MAMBO MUHIMU KWA VIJANA WENZANGU.!

Na Kdmula Wengi itakuwa bado miaka miwili, mitatu au minne kabla ya kutimiza miaka 30. Natambua kuwa kuna waliokwisha fikisha na kuna uwezekano kuna walio nyuma kidogo. Kama katika umri tulionao sasa kuna mtu anakuambia wewe bado ni mdogo/mtoto, basi huyo mtu hakupendi na anakulemaza kiakili....

KWA NINI WAGANGA WANAWEZA KUWASAIDIA WATU KUWA MATAJIRI WAKATI WAO NI MASIKINI?

Kuna watu ambao wanapata mafanikio makubwa kwa kutumia uchawi. Ila mafanikio yale hayaletwi na uchawi bali imani ya mtu husika. Tutajadili kwa nini waganga wanaweza kuwapatia watu wengine dawa au mbinu za kuwa matajiri wakati wao ni masikini. Na pia tutaangalia jinsi ambavyo unaweza kutumia...

Sunday, 25 August 2024

Tuesday, 13 August 2024

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA