Taasisi ya utawala bora na maendeleo Tanzania imemtaka Rais Jakaya Kikwete avunje bunge maalum la katiba ili kulinda heshima ya nchi kwani vurugu na mitafaruku inayotokea inasababishwa na baadhi ya wajumbe kutokujua kilichowapeleka Dodoma na wanalitia aibu taifa.
Taasisi ya utawala bora na maendeleo Tanzania imemtaka Rais Jakaya Kikwete avunje bunge maalum la katiba ili kulinda heshima ya nchi kwani vurugu na mitafaruku inayotokea inasababishwa na baadhi ya wajumbe kutokujua kilichowapeleka Dodoma na wanalitia aibu taifa.
Walisema laki 3. hazitoshi nyie mkafnya masihara..... Lakini bado nabaki njia pand kwamba Je! kama wangeongezewa posho then mambo yakawa hivi sijui wangezirudishaje hizo kodi za walala ................................
ReplyDelete