Sunday 23 March 2014

MAAJABU YA DUNIA HAYA, MTU ATAPIKA PESA NA CHUPA...


Msichana mwenye umri wa miaka 19 anayetapika pesa na vyuma.
Pesa zilizotapikwa na msichana huyo.
Msichana (katikati)akijiandaa kutapika.
Vipande vya misumari vilivyotapikwa na msichana huyo.
MSICHANA mwenye umri wa miaka 19, ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja, anatapika pesa, vyupa, misumari, mayai na pini akiwa kanisani nchini Ghana.
Kwa mujibu wa habari zilizopatikana, msichana huyo alitoweka nyumbani kwao kwa muda wa wiki moja mapema Januari, mwaka huu na aliporejea ndipo alipoanza kufanya vitendo hivyo vinavyohisiwa kuwa vinatokana na imani za kishirikina.
CHANZO GPL via IREPORTERSTV.CO

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA