MBWANA SAMATTA NDO HABARI YA MUJINI..CONGO
Ni mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania na mchezaji wa zamani wa Mbagala Market na klabu ya Simba , Mbwana Ally Samatta aliyefunga bao hilo pekee dakika za majeruhi za kipindi cha pili na kuirudisha timu hiyo ya DRC kwenye hatua ya makundi tangu mwaka 2012 waliposhiriki mara ya mwisho.
Ikumbukwe Samatta pia ndiye aliyefunga bao la Mazembe Abidjan ikifungwa 2-1 na maana yake yeye ndiye ameibeba kwa mabega yake timu hiyo hadi Nane Bora na sasa itasubiri kujua wapinzani wake watatu katika droo itakayopangwa Aprili 29 mjini Cairo.
0 comments:
Post a Comment