Friday 21 March 2014

TWITER KUPIGWA STOP UTURUKI


Twitter

Mtandao wa kijamii wa Twitter wafungwa Uturuki


Mtandao wa kijamii wa , Twitter, unafungwa nchini Uturuki , saa chache baada ya waziri mkuu , Recep Tayyip Erdogan, kuahidi kuuondoa .


Bwana Erdogan -- ambaye anakabiliwa na kashfa kubwa ya ufisadi aliwaambia maelfu ya wafuasi wake katika mkutano wa uchaguzi kuwa hajali kuhusu namna jamii ya kimataifa itakavyochukulia hatua yake .


Neelie Kroes, ambaye ni naibu rais wa tume ya muungano wa Ulaya amesema umamuzi wa kufungwa kwa mtandao huo ni wa kulaumiwa .


Serikali ya Bwana Erdogan imekuwa ikilalamika kuwa mtandao wa Twitter ulipuuza uamuzi wa mahakama ulioitaka viunganishi vya taarifa zake vinashukiwa kurekodi mawasiliano yake binafsi.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA