Mambo matatu kuhusu Mtoto aliebaki na risasi kichwani baada ya shambulio Mombasa
Ni mtoto Satrin Osinya ambae mama yake mzazi aliuwawa kwenye shambulio lililofanywa kanisani huko Mombasa Kenya ambapo watu waliokua na silaha walishambulia kwenye ibada ikabidi mama amkinge mtoto, ikisemekana risasi iliyofyetuliwa ikamuua mama na kupenyeza mpaka ikagota kichwani kwa mtoto aliebaki hai.
Satrin mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi sita alibaki na hiyo risasi kichwani toka shambulio hilo lilipotokea zaidi ya wiki moja iliyopita.
2. Kikundi cha Madaktari 12 bingwa wa kichwa ndio kimeifanya hii kazi.
3. Madaktari wanasema mtoto huyu ameanza kuongea, kucheza na hata kusogea tofauti na mwanzo.
0 comments:
Post a Comment