Saturday 12 July 2014

VIDEO:::Jeshi la polisi latoa tamko kuhusu milipuko ya mabomu.

Mkuu wa jeshi la polisi nchini inspekta jenerali Ernest Mangu ametoa tamko kuhusu matukio ya ulipuaji wa mabomu na kusema wananchi wasiwe na wasiwasi kwani jeshi hilo linaendelea na uchunguzi na sasa lipo katika hatua nzuri ila wahakikishe wanatoa ushirikiano katika kuwafichua wahusika.
 

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA