Friday 8 August 2014

JESHI LA NIGERIA NA TUHUMA ZA KUWACHINJA BOKO HARAM KAMA KUKU



Kuna Taarifa kuhusu Jeshi la Nigeria kuwachinja wanamgambo wa Boko Haram na kuwazika katika kaburi la Pamoja, Habari hiyo bado inachunguzwa na Mashirika ya haki za binadamu duniani na Serikali ya Nigeria kujua kiundani nini hasa kilitokea.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA