Monday 4 August 2014

PICHA ZINASIKITISHA::TETEMEKO LAUA 150 NCHINI CHINA

TAKRIBANI watu 150 wamepoteza maisha huku 1,400 wakijeruhiwa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kutokea katika Jimbo la Yunnan lililopo kusini-magharibi mwa China leo. Tetemeko hilo lililokuwa na ukubwa wa richa 6.5 limesababisha kubomoka kwa majengo yakiwemo mashule.
Waokoaji wakiwa wamembeba mtoto aliyejeruhiwa baada ya tetemeko hilo.

Jengo likiwa limeharibiwa na tetemeko hilo lililotokea leo.
Ads by PlusHD.6Ad Options
Mtoto aliyepoteza maisha katika tetemeko hilo.
Uharibifu uliosababishwa na tetemeko hilo.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA