Saturday 22 August 2015

Diamond na Mafikizolo kurekodi wimbo uitwao Tell Every One wa kampeni ya ‘The Global Goals

11373888_852445964863527_348235188_n
Diamond akiwa studio jijini Johannesburg kuandika na kurekodi sehemu ya wimbo huo
Mafikizolo tayari wameshaingiza sauti zao na aliyekuwa anakisubiriwa ni Diamond ambaye huenda leo akamaliza sehemu yake.
Studio Joburg South Africa Muda huu nikirecord nyimbo kwajili ya kutokomeza Umasikini Africa.... #TellEveryone #SustainableDevelopment @TheGlobalGoals,” ameandika Diamond kwenye picha aliyoweka Instagram.
Fresh kutoka kurekodi wimbo na Ne-Yo, Diamond Platnumz amekwea pipa kutoka Nairobi kwenda nchini Afrika Kusini kuungana na Mafikizolo kurekodi wimbo uitwao ‘Tell Every One’ ambao ni sehemu ya kampeni ya dunia ya kutokomeza umaskini, maradhi, njaa na matatizo mengine, The Global Goals.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA