Monday 8 February 2016

MAGUFULI LAWA NENO JIPYA LA KISWAHILI MAARUFU KENYA

 

Kenya mtu akifanya vizuri wanamwita Magufuli.Kwa mfano fundi mzuri wa magari wanamwita Magufuli wa Magari,Mwalimu mzuri wa Hisabati wanamwita Magufuli wa HIsabati.Kwa jinsi lilivyosambaa Kenya laweza ingizwa kwenye kamusi ya kiswahili likimaanisha mtu mahiri katika kitu fulani Mfano mzuri soma hapa uone neno Magufuli LILIVYOTUMIKA kwa wenzetu I won't go slow, the 'Magufuli' of Education tells Ndunda - Capital News
source;jamiiforums

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA