MADEREVA TBL MBEYA WAPATA MAFUNZO YA UDEREVA WA KUJIHAMI NA UTUNZAJI WA VYOMBO WANAVYOENDESHA
Mtaalamu wa magari Herbet Kubu akiwaelekeza madereva jinsi ya kuangalia usalama wa injini ya gari na utunzaji za magari |
Kampuni
ya TBL Group katika mwendelezo wake wa kuzingatia usalama kazini imeandaa
mafunzo kwa madereva wake wanaosambaza bidhaa zake yanayohusiana na udereva wa
kujihami.Mafunzo hayo yatafanyika kwenye viwanda vyote vya kampuni
na yanaendeshwa na mtaalamu kutoka kampuni ya CFAO Motors Expert Herbert Kubu
ambapo jana ujuzi huo umewafikia madereva wa kiwanda cha Mbeya.
0 comments:
Post a Comment