WAZIRI MWAKYEMBE AUBARIKI WIMBO WA NAY WA MITEGO, ATAKA AACHIWE HURU NA WIMBO WAKE UENDELEE KUCHEZWA REDIONI
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, ameliagiza Jeshi la Polisi kumuachia huru Msanii Ney wa Mitego ambaye alikuwa akishikiliwa na Jeshi hilo.
Waziri Mwakyembe ameishauri pia BASATA kuondoa zuio lake dhidi ya wimbo wa ‘WAPO’ na badala yake uendelee kupigwa tu kama nyimbo nyingine.
0 comments:
Post a Comment