Wednesday 15 June 2022

ALIYEANDIKA KITABU CHA JINSI YA KUUA MME WAKO ATUPWA JELA MAISHA




 Nancy Crampton Brophy, aliyehukumiwa kifungo cha maisha


Mwandishi wa kitabu chenye jina lisemalo 'Jinsi ya kumuua mume wako' kutoka nchini Marekani aitwaye Nancy Crampton Brophy, mwenye umri wa miaka 71 amehukumiwa kifungo cha maisha baada ya kukutwa na hatia ya mauaji ya mume wake aliyoyatekeleza mwaka 2018.

Imeelezwa kwamba tukio la mauaji lilifanyika mahali ambapo mume wake huyo aitwaye Daniel Brophy, alikuwa akifanya kazi kama mpishi na mwili wake ulikutwa sakafuni kwa majeraha ya risasi mbili mnamo Juni 2008.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA