 |
Shughuli ya uokoaji ikiendelea.
Watu Watatu wamekutwa na tukio la kufukiwa na kifusi maeneo ya machimbo ya kifusi huko Bunju , watu hao walikuwa wakichimba kwa bahati mabaya udongo ukamong'onyoka na kuwafukia, wananchi mbali mbali walijitokeza na kusaidia zoezi la uokoaji kwa bahati mbaya wote walipatwa wakiwa wameshafariki
|
Watu watatu waliofahamika kwa majina ya Msagala, Jacob na Mhando wakazi wa Bunju jijini Dar es Salaam mchana huu wamefariki dunia.. |
| Waokoaji baada ya kugundua mwili ulipo. |
Wasamaria wema wakienda kuuhifadhi mwili.....Walio fariki imefahamika ni bwana Msagala, Jacob na Mwando wote ni wakazi wa Bunju....RIP
NA MATUKIO BLG
0 comments:
Post a Comment