KIGOGO NA SKENDO YA USHOGA
WAKATI masuala ya ushoga yakipingwa kwa nguvu zote hapa nchini, skendo ya aina yake imeikumba serikali baada ya siri kuvuja kuwa mmoja wa viongozi kumi wa juu nchini ni shoga.
Habari hizo za kushtua na kufedhehesha taifa ambazo zimefanyiwa kazi na dawati la Ijumaa kwa kushirikiana na kitengo cha OFM cha Global, zilitua hivi karibuni chumba cha habari kupitia kwa kijana aliyejitokeza na kueleza alivyofanya mapenzi ya jinsia moja na kigogo huyo ambaye jina lake linahifadhiwa kwa sasa.
KIJANA HUYO NI NANI?
KWA HABARI ZAIDI ZAMA UKURASA WA NDANI YA BONGO
KWA HABARI ZAIDI ZAMA UKURASA WA NDANI YA BONGO
0 comments:
Post a Comment