Saturday 10 May 2014

MANISPAA YA IRINGA HATARINI KUKUMBWA NA UGONJWA WA DENGUE



taka5_2210c.jpg
Wakazi wa Mshindo karibu na mlango wa Uwanja wa Samora Manispaa ya Iringa, mkoani Iringa wakifanya kazi karibu na taka bila kujali athari za kiafya zinazoweza kuwapata.Tatizo la kuzagaa kwa taka katika Manispaa ya Iringa ni kubwa.
taka_d008a.jpg
taka3_1605a.jpg
MKAZI wa Isoka 'A' Manispaa ya Iringa, mkoani Iringa ambaye hakufahamika jina lake mara moja akipita karibu na jalala leo mchana. Wakazi wa eneo hilo wanasema jalala hilo la taka hazijazolewa kwa muda mrefu sasa, hii ni sababu mmojawapo inayoweza kusababisha mlipuko wa ugonjwa wa dengue unaotokana na kukithiri kwa taka ikiwa ni sehemu ya mazalia ya mbuu, yakiwemo makopo na vifuu vya nazi vinavyohifadhi maji. Ugonjwa wa Dengue unasababisha na kuumwa na mbuu (mosiquito bite/mosiquito-borne)(PICHA:FRIDAY SIMBAYA)
NA MJENGWA

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA