ANGALIA PICHA MWILI WA MAMA YAKE MHE ZITTO KABWE ULIPOAGWA UWANJA WA NDEGE NA KUSAFIRISHWA KWENDA KIGOMA KWA MAZISHI
06:19 |
No Comments |
![]() |
Zitto kabwe akiwa na Prof Ibrahimu Lipumba wakati wa kuuaga Mwili wa mama yake kipenzi Bi Shida Salumu aliyefariki leo kabla ya kusafirishwa kwenda Kigoma kwa mazishi |
![]() |
Ndege Ikiandaliwa Ili kuweza Kuingiza Mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe |
Prof Ibrahimu Lipumba akijadili jambo na Mwezie baada ya kupakia mwili wa marehemu kwenye ndege kuelekea kigoma Kwenye maziko
Rais wa TASWA Juma Pinto akiwa VIP ya Terminal 1 JKN Airport alipokutana na Cardinal Pengo wakati wa kuaga mwili wa Mama yake Zitto Kabwe
PICHA na MATUKIO NA VIJANA
Related Posts:
WAKENYA WAWILI WAHUKUMIWA KIFO NI KUHUSU WIZI WA NMB MWANGA MOSHI Taswira ya mji wa Mwanga, Moshi Mshtakiwa namba 12, Salome Materu aliyekuwa Mhasibu wa Benki ya NMB Mwanga akisaidiwa kupanda katika gar… Read More
MAAJABU**** MAMA AJIFUNGUA MTOTO MWENYE KICHWA CHA NYANI, ANGALIA PICHA HAPA Ajifungua mtoto mwenye kichwa cha nyani Tukio la aina yake na lakushangaza limetokea huko nchini Nigeria baada ya Mwanamke mmoja mkazi wa Kaduna… Read More
WAZIRI ANUSURIKA KUFA BAADA YA GARI LAKE KUGONGA PUNDA HUKO KAHAMA Gari la Waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Profesa Anna Tibaijuka likiwa katika kituo cha polisi wilayani Kahama mkoani… Read More
CHEKI HII::MDADA ALIYEONEKANA KATIKA PICHA NA KOMBA AFUNGUKA, AZIMIA SIKU chache zimekatika baada ya tukio la kusambaa mitandaoni kwa picha tata zenye pozi kati ya mheshimiwa Komba na mrembo aliyejulikana kw… Read More
HATARII**MAZITO YAFUCHUKA HOUSIGELI ALIYETESWA KWA MIAKA 3 KWA KUCHOMWA NA PASI NA BOSI WAKE NYUMAya pazia! Yule msichana Yusta Lucas (20) mwenyeji wa Mkoa wa Tabora ambaye alifika jijini Dar kufanya kazi ya u-hausigeli na kufanyiwa uka… Read More
0 comments:
Post a Comment