KWA MAVAZI HAYA...IRENE UWOYA ANAFAA PONGEZI HASWAAA
14:12 |
No Comments |
kioo cha jamii ameweza kuwakumbusha wasichana ni jinsi gani wanapaswa kujisitiri katika kipindi chote cha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, picha hiyo inaonyesha jinsi gani msaniii huyu amependeza na kudhihirisha kua si lazima uvae ovyo ndio upendeze na kuvutia, hata ukisitiri nywele zako vizuri unatoka poa tu.
0 comments:
Post a Comment