Kwa staili hii kweli Shetta kapania kumfunika Diamond.
17:00 |
No Comments |

Hivi sasa Shetta ameamua kufanya kweli, kama amepania flani hivi kufunika historia aliyowahi kufanya Diamond Platnumz, Katika kutimiza nia yake hiyo ya kutoka kimuziki ki-international zaidi kama alivyofanya Platnumz, ameamua kwenda hadi huko nchini South Africa kuipika vyema video yake ya nyimbo ya “Kerewa” aliyomshirikisha Diamond Platnumz.
Diamond alianza kufanya kweli na ku-change game zima la muziki baada ya kujitoa muhanga na kutumia mamilioni ya fweza kufanya video kali nchini humo south Africa, video ya “Mynumber1″ iliyo-make headlines sana ki-international zaidi. Ila ujio huu wa sasa wa Shetta sidhani kama atashikika kwenye ulimwengu huu wa muziki wa bongo fleva.
Related Posts:
VANESSA MDEE ASHINDA TUZO ZA AFRIMA NCHINI NIGERIA! Msanii wa bongo fleva Tanzania, Vanessa Mdee akiwa ameshikilia tuzo hiyo mara baada ya kukabithiwa!Vanessa Mdee ashinda tuzo ya msanii bora w… Read More
CHEKI PICHA SHOO YA DIAMOND DAR LIVE ILIVONOGA Mwanamuziki Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akipozi katika picha na mashabiki baada ya shoo ya nguvu Dar Live. Diamond akiwa na tuzo pamoj… Read More
RAY C ASEMA HAYA BAADA YA KUANDIKWA KWENYE GAZETI KUWA AMEREJEA KWENYE UTEJA ‘DAKTARI:JK MUOKOE RAY C’ NDIO KICHWA CHA HABARI CHA MAGAZETI ILIYOMTOA MACHOREHEMA CHALAMILA AKA RAY C ILIYOANDIKWA NA GAZETI LIITWALO ‘AMANI’… Read More
HUYU MTOTO NI SHIDAAH !! CHEKI LULU AKIFANYA YAKE BUKOBA NI ZAIDI YA BATA Mwigizaji wa filamu,mrembo na mwenye mvuto wa kufanya wengi wapagawe, Elizabeth Michael aka Lulu ambae kwasasa yupo Mjini Bukoba kwa … Read More
SHINDANO LA MISS TANZANIA LAFUNGIWA MIAKA MIWILI KUTOKANA NA KUKIUKA UTARATIBU Tangu atangazwe aliyekuwa Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu mengi yameongelewa kuhusiana na tetesi za udanganyifu wa umri na vitu vingine … Read More
0 comments:
Post a Comment