Kwa staili hii kweli Shetta kapania kumfunika Diamond.
17:00 |
No Comments |

Hivi sasa Shetta ameamua kufanya kweli, kama amepania flani hivi kufunika historia aliyowahi kufanya Diamond Platnumz, Katika kutimiza nia yake hiyo ya kutoka kimuziki ki-international zaidi kama alivyofanya Platnumz, ameamua kwenda hadi huko nchini South Africa kuipika vyema video yake ya nyimbo ya “Kerewa” aliyomshirikisha Diamond Platnumz.
Diamond alianza kufanya kweli na ku-change game zima la muziki baada ya kujitoa muhanga na kutumia mamilioni ya fweza kufanya video kali nchini humo south Africa, video ya “Mynumber1″ iliyo-make headlines sana ki-international zaidi. Ila ujio huu wa sasa wa Shetta sidhani kama atashikika kwenye ulimwengu huu wa muziki wa bongo fleva.
Related Posts:
MAINDA AFUNGUKA,, ""ATA MKINISEMA NA KUNICHEKA SIACHI ULOKOLE NG`OOOO"" Staa wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’. Staa wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amefunguka kuwa kwa sasa hatakubali tena kusumbuliwa na w… Read More
PICHA:MASTAA WA BONGO WAKIWA NA WATOTO WAO.. CHECK HAPA!! Shetta anamtoto mmoja wa kike kwa jina la Qayllah. Alizaliwa mwaka 2012 na tumeanza list hii na Shetta kwasababu jamaa aliamua kumpa mtot… Read More
KWELI DIAMOND PLATINUMZ SUKARI YA WAREMBO..CHEKI LIST YA BAADHI TUYA MADEMU ALIOTOKA NAO,, WALIOSEMA ujana ni maji ya moto hawakukosea. Mkali wao kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ni msanii ambaye ana idadi kubwa ya msururu… Read More
BAADA YA WENZAO KUPIGWA RISASI, KANGA MOKO WAAMUA KUFANYA HILI DIANA Semhando na Zawia ambao ni mastaa wa kundi maarufu la minenguo Khanga Moja (ambao majuzi walipata msukosuko wa kufyatuliwa risasi mtaani), wa… Read More
HUYU NDIYO DADA ALIYEKUA AKIMLA NYAMA HOUSE GIRL WAKE**.ANGALIA PICHA HAPA,,, Anaitwa Amina Maige au Amina kumeza Yusta dada wa kazi alokuwa akiteswa na boss wake kwa muda wa miaka mitatu. Boss mwenyewe ndio hu… Read More
0 comments:
Post a Comment