UJERUMANI YAINYOA URENO,,MULLER ASHIKA MKASI,,,,Ujerumani 4-0 Ureno
21:05 |
No Comments |
Ujerumani 4-0 Ureno
Mfungaji mabao matatu ya Ujerumani Thomas Müller
20:48 Lukas Podolski achukua nafasi yake Thomas Müller
20:39 Matokeo kufikia sasa Ujerumani 4 - 0 Ureno
20:38 Thomas Mueller anafurukuta nipenikupe kwenye lango la Ureno na kufuma mpira uliotemwa na kipa wa Ujerumani
20:38 Ujerumani yafunga bao la 4
20:38 BAOOOOOOO la $
20:36 Ronaldo amlalamikia vikali refarii kuwa anapaswa kuwepa penalti lakini reafri haskii lolote anasema mpira uendelee
20:35 Ronaldo aishambulia lango la Ujerumai lakini mkwaju wake unapanguliwa .
20:32 Ureno ikiongozwa na Christiano Ronaldo hawana jibu ya nipe nikupe ya Ujerumani.
Ujerumani imefungua kampeini yake kwa kishindo ikiiadhibu Ureno 3-0
20:32
20:31 Dakika ya 70 Ujerumani 3-0 Ureno
Kisa kilichompelekea pepe kuoneshwa kadi nyekundu awali katika mechi hii
20:22 Matokeo kufikia sasa dakika ya 60 ya kipindi cha pili Ujerumani 3-0 Ureno.
20:21 Mesut Ozil apumzishwa nafasi yake inachukuliwa na Andres
Ujerumani yafungua kampeini yake kwa kishindo dhidi ya ureno huko Brazil
20:20 Ujerumani yafungua kampeini yake kwa kishindo dhidi ya Ureno huko Brazil.
NA BBC
NA BBC
Related Posts:
PICHA:: LIVERPOOL YABANWA NA SOUTHAMPTON Liverpool: Mignolet, Clyne, Skrtel, Sakho, Moreno, Milner, Lucas, Can, Lallana (Firmino 67), Coutinho (Ibe 83), Origi (Benteke 45) Sub… Read More
PICHA: MANCHESTER UNITED ,MANCHESTER CITY HAKUNA MBABE MANCHESTER UNITED (4-2-3-1): De Gea 6; Valencia 6.5 (Darmian 5.5), Jones 6.5, Smalling 7, Rojo 6.5; Schweinsteiger 7(Fellaini 6.5), Schneiderlin 6; … Read More
MOURINHO MGUU NDANI MGUU NJE CHELSEA Kocha Mkuu wa Chelsea, Jose Mourinho sasa si siri tena kwamba amekalia kuti kavu. Makocha Carol Ancelotti na Guud Hiddink ndiyo wanaopewa naf… Read More
MKWASA AITA 28 STARS KUIVAA ALGERIA Kocha Mkuu wa timu ya Taifa Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Charles Boniface Mkwasa leo ametangaza kikos… Read More
TWIGA KUCHEZA NA MALAWI NOVEMBA 7 Timu ya Taifa Tanzania ya Wanawake ya Mpira wa Miguu (Twiga Stars) inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya Taifa ya Wanawake ya Malawi No… Read More
0 comments:
Post a Comment