Thursday 19 June 2014

UKATILI***KICHANGA CHATUPWA JALALANI...MAMA YAKE AKAMATWA NA POLISI..


Mwili wa kichanga.

Mama anayedaiwa kutupa kichanga akiwa na mwanae wa kwanza.
 
Difenda la polisi likiwa eneo la tukio kuchukua mtuhumiwa na mwili wa kichanga.
MWILI wa kichanga umeokotwa eneo la Njiro jijini Arusha juzi baada ya kudaiwa kutupwa na mama mmoja ambaye hakufahamika jina lake mara moja.
Baada ya kichanga hicho kuokotwa, wananchi walitoa taarifa polisi waliofika na kufanikiwa kumkamata mama mwenye kichanga hicho.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA