Wednesday 25 June 2014

WEMA SEPETU AFICHUA SIRI NZITO YA MILLARD AYO....SOMA HAPA


collage
Watu wengi sana watakuwawanamfahamu mkali huyu wa kuwakilisha habari kali za nguvu kwa
 watu wake kupitia kipindi chake cha ClaoudsFm cha Amplifaya, Milard Ayo amezidi kujipatia 
sifa kwa uwezo wake na kwa staili yake ya pekeeya kufikisha habari, ila wengi walikuwa 
hawafahamu kile apendacho, mbali na kuwa hodari kama mtangazaji Milard Ayo hupenda 
sana nyumba, anandoto siku aje kusimamisha mjengo wake wa nguvu hapa town. Ni siri 
aliyoifichua Mrs Dangote aka Wema Sepetu wakati akimpa shavu ili watu wazidi kumpigia
 kura kuchagua#AMPLIFAYA kama kipindi cha Radio kinachopendwa.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA