Sunday 6 July 2014

DADA WA MAREHEMU ALBERT MANGWEA AFARIKI DUNIA, KUZIKWA MBEYA


DADA YAKE MAREHEMU ALBERT MANGWEA, AMEFARIKI DUNIA JUZI JULY 2, 2014 BAADA YA KUUGUA KWA MUDA MREFU NA ANATARAJIWA KUZIKWA LEO HUKO MBEYA.

Mangwair
Akizungumza na paparazi, rafiki wa karibu wa Albert Mangwea, M2theP amesema kuwa wameshaanza taratibu za mazishi ya dada wa rafiki yake.
“Tumepata msiba wa dada yake mkubwa Albert Mangwea, amefariki juzi na tunazika leo. Mimi niko Mbeya kwaajili ya mazishi, siunajua Ngwea alikuwa kama ndugu yangu. Kwa jinsi nilivyoambiwa alikuwa anaugua tu nadhani ni vitu kama hivyo,” alisema.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA