Thursday 3 July 2014

DJ FETTY,B12 NA ADAM MCHOMVU ADUNDANA MBAYAAA WAKIWA STUDIO, FETTY AVIMBA...SOMA NA TAZAMA HAPA


Katika hali ya kushangaza bila kutarajia kumetokea Ugomvi mkubwa mchana jana katika studio za Clouds ambapo inaonekana Dj Fety wakibishana na B12 kushusu kulunch kitu fulani hewani sasa hapo ndipo mbinde ilipoanzia, hii imetokea jana kwenye kipindi cha xxl.. sikiliza hapa 
Inshu nzima iko hivi: Wakampaka ana album alikuwa atoe tangu last yr hajatoa sembuse sasa? Fetty akasema yeye atatoa compilation ya fiesta Fetty akasema the fact that ametambua kuwa ni tatizo ni jambo la msingi then sasa hapo ugomvi ndo ukaanza Kikanuka zaidi! Fetty aliafiki jamaa wa TRA kusema wauza cds n dvds original saivi wanaonekana feki. 
Then dozen akaanza kuhoji itakuwaje fetty alikubali hilo wakati ni tatizo? B dozen akampaka kuwa fetty yeye hiyo ni idea wakati yake tayari iko printing stages... Actually B dozen akawa anasema haoni maana ya kutoa album kwani itakuwa

Mchomvu ndo akaanza kuzima mic alipoona ugomvi unazidi hewani.. Fetty aliafiki jamaa wa TRA kusema wauza cds n dvds original saivi wanaonekana feki. Then dozen akaanza kuhoji itakuwaje fetty alikubali hilo wakati ni tatizo?

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA