WANAWAKE BWANA:YAFAHAMU MAWAZO YAO PALE ANAPOKUTANA NA H-SOME BOY... 11:00 | No Comments | Kwanza kutazama tembea yako,kisela au kiheshima ili ajue kama una kazi au laa Kama nguo zako zimefubaa basi unatembea juani na kama nguo zimejikunja basi hata pasi huna gari Kama pesa hutoi kwenye waleti basi hujazoea kuwa na pesa na hata lakimoja hujawahi kuwa nayo Kama hunukii vizuri basi wanawake huwajui vizuri, na hata hug au romance hujawhi pata kokote Kama nywele huja chana inaonekana hujitunzi na hata zake hutoweza kugaramia Ukiongea nae mda mrefu na maswali mengi basi una mtaka ila huelewi uanzaje kidume Ukimshika au ukimgusa popote basi unamtaka kimwili Kama nguo zako mkanda wa suruali na viatu havi machi basi pia moja kwa moja hujielewi na hujawahi kuwa na mwanamke Usipomtazama machoni hujiamini na inaonekana muongo Share This: Facebook Twitter Google+ Stumble Digg MAPENZI Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook Related Posts:HIZI NDIZO MBINU ZA JINSI YA KUISHI NA MPENZI ANAEPENDA PESA. Hapa tunazungumza kuhusu mapenzi kama kawaida yetu. Leo nimekuja na mada ambayo naamini itawagusa wengi. Marafiki zangu, kusaidia katika m… Read MoreHERE ARE THE 5 REASONS WHY MEN LOSE INTEREST IN LADIES Those first weeks or months of encounters and dates seem to be filled with such great promise, high hopes and exciting possibilities. And then the ba… Read MoreHUMPENDI? KWA NINI UZAE NAYE? Katika jamii tunayoishi kuna mambo mengi yanayoendelea ambayo huonyesha jinsi gani wawili walivyohusiana kimapenzi, lakini hujitokeza baada ya… Read MoreWAKAKA HII INAWAHUSU:: HAYA NDIO MAMBO YA MUHIMU PALE MNAPOANZA MAHUSIANO NA MSICHANA UMPENDAE Nini cha kufanya baada ya kukubaliwa kuwa wapenzi? Kama sio mpitaji kwake, na unataka uhusiano wenu uwe ‘Serious’, usikurupuke kuanza kumuomba kuku… Read MoreUNAJUA KUWA UZITO WA MWILI, KITAMBI NA UNENE VYAWEZA KUATHIRI KWENYE MAHUSIANO YAKO ?.SOMA HAPA Asikudanganye mtu bwana, uzito mkubwa wa mwili, kitambi na unene vimewanyima wengi sana kuyafurahia mahusiano yao.Najua mara nyingine ni ngumu sana k… Read More
0 comments:
Post a Comment