Thursday 18 September 2014

DIAMOND AWAPA ZA USO WADADA WANAOOGOPA KUZAA



Diamond platnumz katika ururasa wake wa facebook amepost post ambayo ina mashiko sana kwa madada wa kibongo wanaojiona wao wako juu sana wanaona wakiza watapoteza mvuto kwa watu diamond akaamua kufunguka kiivi.Kwa mtazamo wangu mimi naona kuzaa hakumfanyi mtu azeeke au awe wa kizamani, ni tabia tu ya mtu mwenyewe.... na ndiomaana dada zetu kama Beyonce, Nancy sumary, Kim Kardashian na kadharika wana watoto na still wanafanya vizuri.....Au we mtazamo wako ukoje?
(I believe, bearing kid (s) doesn't transform a woman being old or being out of fashion.....it's her natural Behavior...my living proof are, Beyoncé, Nancy Sumary, Kim kardashan etc.... Isn't it??? Let me hear your views on this....)

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA