DIAMOND SASA KUFANYA SHOW YA BURE TAR 20 NCHINI UJERUMANI,BAADA YA SHOW YA KWANZA KUVUNJIKA KWA VURUGU
15:42 |
No Comments |
Mwishoni mwa mwezi uliopita msanii anayewakilisha vyema taifa lake la Tanzania Diamond Platnumz alikuwa anafanya show kubwa mjini Stuttgart,Ujerumani na show kushindikana kufuatia vurugu kubwa katika ukumbi ambapo chanzo cha vurugu hizo ni kutokana na Diamond kuchelewa kupanda jukwaa.
YES!!!! STUTTGART GERMANY!!! on this 20th of September 2014... kiukweli nilisikitishwa sana na kilichotokea last time Stuttgart... lakini baada ya kugundua kuwa pia lilikuwa ni kosa la mtu mwingine na si promotter kama nilivyodhani, yaani Brittis Events.ndipo tulipoamua na kuwaletea Burudani hii Mashabiki zetu pendwa wa Stuttgart....hakikisha ufikapo unapendeza zaidi maana kama ujuavyo safari hii Vyombo vyote vya habari ndani na nje ya nchi vitakuwa pale kwa RedCarpet.... kiingilio ni BUREEEEEE!!!... tafadhariwambie na wenzio wa nchi za karibu...#NORWAY #HOLLAND #SWITZLAND #BELGIUM #SWEEDEN na kadharika!!!! Aliandika Diamond Platnumz kupitia ukurasa wake wa Facebook.
Kwa kilichopangwa na waandaaji wa show hiyo ni kwamba show hiyo itafanyika tena na mara hii show hiyo itakuwa ni bure kama fidia kwa mashabiki wa burudani na mashabiki wa muziki wa Diamond Platnumz ambapo tarehe ya kufanika kwa show hiyo ni tarehe 20 Septemnber mwaka huu.
Related Posts:
HII NDIYO IDADI YA TUZO ALIZOZIPATA LADY JAY DEE MPAKA SASA Mwanadada Lady Jaydee alimaharufu kama Binti Machozi wa TEAM ANACONDA, leo ameweka wazi kua tangu alipo anza mziki mpaka sasa baada ya kupa… Read More
UJUMBE MZITO TOKA KWA DIAMOND KWENDA KWA MASHABIKI WAKE JAMAA NI MZALENDO WA KWELI. Japokuwa nina show Canada tareh 2 lakini ilinibidi kwanza nilete Mzigo nlioagizwa na Wananchi Nyumbani kisha ndio nirudi kuendelea na sh… Read More
EXCLUSIVE::DIAMOND AFUNGA MITAA YA TANDALE AKIIPELEKA TUZO KWA MAMA YAKE Mwamuziki wa Kizazi Kipya,Naseeb Abdul (Diamond Platnumz ) akiwa amezungukwa na Mashabiki ambao wakati alipota katika barabara ya kwa mtogol… Read More
LULU AFUNGUKA JUU YA YA TUHUMA ZA KUFUMANIWA mitandao ya kijamii na vyombo mbalimbali vya habari Bongo kwamba msanii wa Bongo Fleva, David Genzi ‘Young Dee’ na nyota wa filamu,Elizabeth m… Read More
WEMA SEPETU AANIKA UGOMVI WAKE NA MAMAYAKE! FULL STORY HAPA Staa wa filamu bongo, Wema Sepetu akiwa na mama yake. STAA wa filamu Bongo, Wema Sepetu ametaja sababu zinazomfanya aingi… Read More
0 comments:
Post a Comment