MSICHANA ALAZIMISHWA KUFUNGA NDOA NA MBWA
12:15 |
No Comments |
Msichana wa miaka 18, raia wa India aliyetajwa kwa jina la Mangli Munda amefunga ndoa na mbwa baada ya kulazimishwa na wazazi wake kufanya hivyo kwa imani kuwa atafukuza roho za kishetani na mikosi inayomsonga.
Mbwa huyo alitafutwa na baba mzazi wa mrembo huyo na kufanyika sherehe kubwa ikiwa na vitendo vyote vinavyofanywa na ya bibi harusi na bwana harusi kwa taratibu zao za ndoa.
Kwa mujibu wa Yahoo News, msichana huyo hakuwa na furaha kabisa na alieleza wazi jinsi alivyochukizwa na kitendo hicho, “Siifurahii kabisa hii ndoa.”
0 comments
Related Posts:
WACHEZA KAMARI WACHAPWA BAKORA MSIKITINI Watu nane walichapwa bakora mbele ya watu 1,000 ndani ya msikiti nchini Indonesia baada ya kuvunja sheria ya Kiislamu kwa kucheza kamari. Mwe… Read More
CHUI AMSHAMBULIA MWANAFUNZI HADI KUMUUA. Picha ya maktana chui akimshambuliaji binadamu.Chui Buka au 'Tiger', amemshambulia na kumuua mwanafunzi nchini India katika hifadhi ya wany… Read More
MAJANGA:MWANANKE AFANYA MAPENZI NA SAMAKI ::CHEKI ALICHOSEMA Mwanamke aliyefanya mapenzi na samaki aina ya Dolphin aongea kwa mara ya kwanza. Unaweza kushangaa na kuona ni kitu cha ajabu lakini hii ime… Read More
MAAJABU YA MUNGU HUYU NDIYE MTU MWENYE MIKONO MIKUWA ZAIDI DUNIANI She is thought to have the world’s biggest hands.For more than 50 years, Duangjay Samaksamam, from Thailand, has suffered from an extremely ra… Read More
NI SHIDAAA:: CHEKI MSURURU WA WATU WAKIWA NA FULL SHANGWE YA KUISHIKA IPHONE 6 Mashabiki wa Apple Ijumaa hii wamezishika simu zao mpya za iPhone 6 baada ya kungojea kwa siku kadhaa nje ya maduka yanayouza simu. Hata hivyo… Read More
Post a Comment