MSICHANA ALAZIMISHWA KUFUNGA NDOA NA MBWA
12:15 |
No Comments |
Msichana wa miaka 18, raia wa India aliyetajwa kwa jina la Mangli Munda amefunga ndoa na mbwa baada ya kulazimishwa na wazazi wake kufanya hivyo kwa imani kuwa atafukuza roho za kishetani na mikosi inayomsonga.
Mbwa huyo alitafutwa na baba mzazi wa mrembo huyo na kufanyika sherehe kubwa ikiwa na vitendo vyote vinavyofanywa na ya bibi harusi na bwana harusi kwa taratibu zao za ndoa.
Kwa mujibu wa Yahoo News, msichana huyo hakuwa na furaha kabisa na alieleza wazi jinsi alivyochukizwa na kitendo hicho, “Siifurahii kabisa hii ndoa.”
0 comments
Related Posts:
UMESHAWAHI KUONA PICHA ZA RIHANNA AKIWA KANISANI.....!! BOFYA HAPA Rihanna was a hands on mum as she carried her cousin's baby,Majesty o her christening in Barbados. However,people are wondering if t… Read More
MREMBO ATUMIA TZ SHS 78 MIL.KUJIBADILI NA KUWA NA UMBO KAMA LA MDOLI Victoria Wild has blown a staggering £30,000 on rhinoplasty, permanent lip implants, Botox and three breast enhancements ta… Read More
AJITUPA KWENYE BWAWA LA MAMBA ILI AFE Mwanamke mwenye umri wa miaka 65 mjini Bangkok, Thailand, amefariki baada ya kujirusha katika bwawa lenye Mamba katika shamba la kutunza na kuhifad… Read More
KIATU CHA MUUMBUA LADY GAGA ,ABEBWA HADI NDANI YA HOTELI Meanwhile, hours later see how she arrived in Greece..And she wasn't performing, she had men carry her into her hotel … Read More
MAAJABU:WANASAYANSI WAMFANYIA SAMAKI OPERESHENI YA UBONGO Samaki aina ya Goldfish, anaendelea kupata nafuu baada ya kufanyiwa upasuaji kutolewa uvimbe kwenye ubongo wake.Upasuaji huo umesemekana ku… Read More
Post a Comment