MSICHANA ALAZIMISHWA KUFUNGA NDOA NA MBWA
12:15 |
No Comments |
Msichana wa miaka 18, raia wa India aliyetajwa kwa jina la Mangli Munda amefunga ndoa na mbwa baada ya kulazimishwa na wazazi wake kufanya hivyo kwa imani kuwa atafukuza roho za kishetani na mikosi inayomsonga.
Mbwa huyo alitafutwa na baba mzazi wa mrembo huyo na kufanyika sherehe kubwa ikiwa na vitendo vyote vinavyofanywa na ya bibi harusi na bwana harusi kwa taratibu zao za ndoa.
Kwa mujibu wa Yahoo News, msichana huyo hakuwa na furaha kabisa na alieleza wazi jinsi alivyochukizwa na kitendo hicho, “Siifurahii kabisa hii ndoa.”
0 comments
Related Posts:
KIM KARDASHIAN ATTACKED IN PARIS...CHECK PHOTOS THE HERE A Terrified Kim Kardashian attacked by red carpet prankster at Paris Fashion Week Kim is the latest victim of Ukranian red carpet … Read More
MWANAUME MREFU ZAIDI DUNIANI AFARIKI CHEKI PICHA ZAKE.. internet advertising Leonid Stadnyk, believed to be the world's tallest man at 8ft 4 inches has died. He was just 44. The peasant farmer from t… Read More
MAJANGA:WATUMIAJI WA IPHONE 6 WALALAMIKIA SIMU HIYO KUPINDA MARA TU UWEKAPO MFUKONI Owners of the new iPhone 6 Plus have been left angered as it emerged the phone can bend out of shape simply when stored in a pocket.Since th… Read More
MAJANGA:MWANANKE AFANYA MAPENZI NA SAMAKI ::CHEKI ALICHOSEMA Mwanamke aliyefanya mapenzi na samaki aina ya Dolphin aongea kwa mara ya kwanza. Unaweza kushangaa na kuona ni kitu cha ajabu lakini hii ime… Read More
CHUI AMSHAMBULIA MWANAFUNZI HADI KUMUUA. Picha ya maktana chui akimshambuliaji binadamu.Chui Buka au 'Tiger', amemshambulia na kumuua mwanafunzi nchini India katika hifadhi ya wany… Read More
Post a Comment