BABA MZAZI ADAIWA KUMCHINJA MWANAYE SENGEREMA MWANZA
11:30 |
Baba mzazi mkazi wa Sengerema anadaiwa kumuua mwanaye wa miaka minne kwa kumchinja koromeo na kumchoma kwa kisu kwenye kitovu na utumbo kutoka nje.
Mzazi huyo anadaiwa kufanya mauaji hayo juzi alfajiri baada ya kumchinja aliuchoma kwa kisu mwili wa mtoto huyo sehemu mbalimbali ikiwemo masikioni na kifuani.
Gazeti la MWANANCHI ambalo lilikua shuhuda limedai baada ya kufanya kitendo hicho alianza kufukuza wananchi waliokusanyika eneo hilo kwa kuwatishia kuwachoma na kisu.
Hata hivyo mtuhumiwa huyo alizidiwa nguvu na wananchi na kuanza kumshambuliwa kwa kipigo hadi alipookolewa na Mwenyekiti wa mtaa.
Mama mzazi wa watoto hao alisema kabla ya kutengana na mumewe huyo alizaa nae watoto watatu na kwamba ameshangazwa kupata taarifa za mwanaye kuuawa na baba yake.
Jeshi la Polisi linamshikilia kwa uchunguzi huku likisubiri taarifa ya hospitali kuhusu utimamu wa akili yake.
-MWANANCHI@VIA EDDY
Related Posts:
AIBU: WATU WANNE WA FAMILIA MOJA WAKAMATWA WAKILIMA SHAMBA WAKIWA UCHI Jeshi la polisi Mkoani Simiyu linawashikilia watu wanne wa familia moja kwa tuhuma ya kukutwa wakilima uchi wa mnyama shambani kw… Read More
WAZIRI PINDA AKUTANA NA UJUMBE WA BENKI YA DUNIA Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Dunia … Read More
ANGALIA VIDEO JAMII INAYOMUABUDU BINADMU MWENZAO KAMA MUNGU… Read More
YULE JAMAA WA MENO YA CHUMA ALIYEIGIZA SINEMA ZA BOND AFARIKI DUNIA MUIGIZAJI Richard Kiel ambaye alicheza kama Jaw katika sinema mbili za James Bond amekufa mjini california akiwa na umri wa miaka 74.Muigi… Read More
NI SHIDAA !! MEET THE BLACK LADY GAGA (LATRICE ROYALE) Latrice Royal is a celebrity drag queen. Real name Timothy Wilcots, she has the swag of Beyonce ,confidence of Rihanna and style of&… Read More