MUME AMPIGA MSHALE MKEWE BAADA YA KUPINGA BINTI YAO KUOLEWA HUKO TARIME
08:46 |
Mkazi wa kijiji cha Buriba kata ya Sirari Tarime Buninge Chacha amenusurika kufa baada ya kupigwa mshale kwenye makalio na kuvuja damu nyingi na mtu anayedaiwa kuwa ni mume wake.
Inadaiwa mke wake huyo alikua akipinga binti yao kuozeshwa hali iliyopingwa na mumewe ambae alikasirika na kuamua kumchoma kwa mshale wakati akikimbia kujiokoa, Mwanamke anasema kitendo cha mumewe kumchoma mshale wakati akitetea haki ya mtoto wao kimemfanya aogope kurudi nyumbani kwa madai mumewe anaweza kumuua hivyo ameamua kuishi kwa dada yake.
CHANZO:MWANANCHI
Related Posts:
RAIS KIKWETE ATEUA WABUNGE WAWILI WAPYA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amewateua wabunge wawili (2) wapya wa Bunge la Jamhuri ya Muungan… Read More
TUME YA MIPANGO YAPONGEZWA KWA UFANISI Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo akihutubia wajumbe wa baraza la wafanyakazi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, ambapo alionesha kuri… Read More
ZITTO KABWE BAADA YA KUTUA RASMI ACT TANZANIA AONGEA NA VYOMBO VYA HABARI Zitto kabwe anaongea na waandishi wa habari hivi sasa katika ukumbi wa Serena hotel.punde tunakujuza alichosema baada ya kujiunga na chama… Read More
NAPE MCHEFUA LOWASSA::ANENA MAZITO Siku moja baada katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha mapinduzi (CCM) Nape Nnauye kutoa kauli ya chama hicho kuhusu makundi yanayojitokeza kumshaw… Read More
HII NDIYO KAULI YA KARDINALI PENGO KUHUSU MCHUNGAJI GWAJIMA "Kuna mtu mmoja,ambaye hata jina lake silikumbuki,ameinuka na kunena maneno juu yangu,ambayo yamewaudhi baadhi hata yenu.Langu mimi kwake ni… Read More