Tuesday 8 March 2022

LIFAHAMU DHEHEBU LINALOKATAZA VIJANA KUONGEA NA WASICHANA KABLA YA KUOANA ,PIA HALIJALI UZAZI WA MPANGO



Dhehebu la ajabu ambalo vijana wanakatazwa kuongea hadi hapo watakapooana limebainishwa katika makala ya televisheni.

Picha za video ndani ya dhehebu hilo la Gloriavale zimebainisha namna viongozi wa wazee wa dhehebu 12 ndio ambao huamua kijana yupi amuoe nani na kwa wakati gani.

Dhehebu hilo lipo katika kisiwa cha kusini mwa New Zealand, na limekuwa na usiri wa namna linavyojiendesha, lakini mmoja wa mfuasi wake aliyetoroka amefichua siri.
                        Hata kwenye bwawa la kuogelea huoga wakiwa na magauni yao.
           Huko uvaaji ni wa vazi linalofanana hakuna kutofautiana sare kama shule.
               Hawana mpango kabisa na suala la kufuata uzazi wa mpango ni full kuujaza ulimwengu.
-Rweyunga

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA