Monday 17 August 2015

MAELFU YA WANANCHI WAJITOKEZA KWENYE MKUTANO WA UKAWA JIJINI MWANZA


 
 

 





Umati wa Wakazi wa Jiji la Mwanza ukiwa umefurika kwa wingi katika Barabara inayoelekea kwenye Uwanja wa Furahisha, kulikofanyika Mkutano wa hadhara wa kutafuta wadhamini wa Tume ya Uchaguzi (NEC) kwa Mgombea Urais na Makamu wake wa UKAWA kupitia CHADEMA na kutambulishwa kwa wananchi, Agosti 16, 2015. Picha na Othman Michuzi
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akiwahutubia maelfu ya wakazi wa Jiji la Mwanza, leo Agosti 16, 2015, wakati wa Mkutano wa hadhara wa kutafuta wadhamini wa Tume ya Uchaguzi (NEC) na kutambulishwa kwa wananchi, Agosti 16, 2015.


 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Freeman Mbowe akiwahutubia maelfu ya wakazi wa Jiji la Mwanza, leo Agosti 16, 2015, wakati wa Mkutano wa hadhara wa kutafuta wadhamini wa Tume ya Uchaguzi (NEC) kwa Mgombea wao wa Urais na kutambulishwa kwa wananchi, Agosti 16, 2015. 
Mke wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa. Mama Regina Lowassa akiwasalimia wakazi wa Jiji la Mwanza, leo Agosti 16, 2015, wakati wa Mkutano wa hadhara wa kutafuta wadhamini wa Tume ya Uchaguzi (NEC) na kutambulishwa kwa wananchi, Agosti 16, 2015.





















0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA