RAIS BUHARI ATEUWA KAMATI YA KUMSHAURI NAMNA YA KUPAMBANA NA RUSHWA

Kamati hiyo ya wajumbe saba wa kumshauri rais kuhusu kukabiliana na rushwa inaundwa na wanazuoni.
Rais Buhari alichaguliwa mwezi Mei, aliahidi zaidi kukabiliana na rushwa nchini Nigeria, ambapo amesema anaamini maafisa wa serikali wameiba karibu dola bilioni 150.
0 comments:
Post a Comment