Wednesday 12 August 2015

RAIS BUHARI ATEUWA KAMATI YA KUMSHAURI NAMNA YA KUPAMBANA NA RUSHWA


 

Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria ameteua kamati ya kumshauri juu ya njia gani nzuri anaweza kuitumia kukabiliana na rushwa na kufanya mabadiliko ya mfumo wa sheria.

Kamati hiyo ya wajumbe saba wa kumshauri rais kuhusu kukabiliana na rushwa inaundwa na wanazuoni.

Rais Buhari alichaguliwa mwezi Mei, aliahidi zaidi kukabiliana na rushwa nchini Nigeria, ambapo amesema anaamini maafisa wa serikali wameiba karibu dola bilioni 150.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA