FAHAMU: TAKWIMU MUHIMU AFRIKA
Afrika ni bara la pili kwa ukubwa na kwa kuwa na watu wengi Zaidi duniani. La kwanza ni Asia.
Ndani ya bara la Africa, nchi zinaongoza kwa ukubwa na udogo ni kama ifuatavyo:
NIGERIA: Hii ni kubwa kuliko zote kwa idadi ya watu wakati
ALGERIA ni nchi kubwa zaidi kuliko zote Afrika kwa ukubwa wa ardhi.
GAMBIA : Ndio nchi ndogo zaidi kuliko zote kwa nchi zisizo na visiwa wakati.
Visiwa vya Shelisheli : Ndio nchi ndogo zaidi kwa nchi zilizo visiwa.
Afrika Kusini : Nchi Tajiri zaidi Afrika kwa viwango vya pato la taifa
0 comments:
Post a Comment