Sunday 13 December 2015

TBL YAPATA USHINDI WA JUMLA TUZO YA MUAJIRI BORA 2015 ATE



Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa TBL, David Magesa akipokea Kikombe cha mshindi wa jumla wa Mwajri Bora wa Mwaka 2015, kutoka kwa Waziri Mkuu Kasim Majaliwa wakati wa kuhitimisha hafla hiyo. Kulia ni Katibu Mkuu, Dkt. Florens Turuka na Makamnu Mwenyekiti wa ATE, Zuhura Muro.

Waziri Mkuu Kasim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa meza kuu, na Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa TBL, akipokea Kikombe cha mshindi wa jumla wa Mwajri Bora wa Mwaka 2015, kutoka kwa wakati wa kuhitimisha hafla hiyo. Kulia ni Katibu Mkuu, Dkt. Florens Turuka na Makamnu Mwenyekiti wa ATE, Zuhura Muro. 
 


Wafanyakazi wa Kampuni ya TBL, wakishangilia na vikombe vya ushindi walivyokabidhiwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa baada ya kuibuka washindi wa jumla wa Tuzo ya mwajiri bora wa mwaka katika hafla iliyoandaliwa na Chama cha waajiri nchini (ATE) jijini Dar es Salaam jana.
 
Wafanyakazi wa Kampuni ya TBL, wakishangilia na vikombe vya ushindi walivyokabidhiwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa baada ya kuibuka washindi wa jumla wa Tuzo ya mwajiri bora wa mwaka katika hafla iliyoandaliwa na Chama cha waajiri nchini (ATE) jijini Dar es Salaam jana.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA