Sunday 13 March 2016

ZLATAN APIGA NNE ,PSG IKISHINDA 9-0 DHIDI YA TROYES

The 60 point difference between the two Ligue 1 sides was clear as PSG wrapped up their fourth consecutive French title
Zlatan Ibrahimovic akishangilia bao la nne pamoja na wachezaji wenzake
Mshambuliaji wa PSG, Zlatan Ibrahimovic akiondoka na mpira baada ya kufunga mabao manne katika ushindi wa 9-0 ugenini dhidi ya Troyes kwenye mchezo wa Ligue 1 ya Ufaransa usiku wa leo Uwanja wa Aube. Mabao mengine ya PSG yamefungwa na Edinson Cavani, Adrien Rabiot, Dreyer na Saunier aliyejifunga.

Adrien Rabiot made it three with his second goal in as many games tucking in the rebound after Dreyer had denied Cavani
Rabiot akipachika bao katika mchezo huo uliokuwa mteremko kwa PSG

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA