ZLATAN APIGA NNE ,PSG IKISHINDA 9-0 DHIDI YA TROYES
Zlatan Ibrahimovic akishangilia bao la nne pamoja na wachezaji wenzake |
Mshambuliaji wa PSG, Zlatan Ibrahimovic akiondoka na mpira baada ya kufunga mabao manne katika ushindi wa 9-0 ugenini dhidi ya Troyes kwenye mchezo wa Ligue 1 ya Ufaransa usiku wa leo Uwanja wa Aube. Mabao mengine ya PSG yamefungwa na Edinson Cavani, Adrien Rabiot, Dreyer na Saunier aliyejifunga.
Rabiot akipachika bao katika mchezo huo uliokuwa mteremko kwa PSG |
0 comments:
Post a Comment