UEFA:: ATLETICO MADRID YAIVUA BARCELONA UBINGWA NA KUTINGA NUSU FAINALI
Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya wametolewa katika michuano hiyo wakati magoli mawili ya Antoine Griezmann yakiibeba Atletico Madrid na kutinga katika nusu fainali za michuano hiyo.
Barcelona iliwasili katika Jiji la Madrid ikiwa na ushindi wa mabao 2-1 katika mchezo wa awali lakini uzembe wa mabeki wake ulimfanya Griezmann ambaye alikuwa hana mtu wa kumkaba kupachika bao la kwanza na kisha baadaye kupachika la pili kwa penati.
Antoine Griezmann akipachika bao
Wachezaji wa Barcelona wakimlalamikia refa kwa maamuzi yake
0 comments:
Post a Comment