Thursday 14 April 2016

UEFA:: ATLETICO MADRID YAIVUA BARCELONA UBINGWA NA KUTINGA NUSU FAINALI


Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya wametolewa katika michuano hiyo wakati magoli mawili ya Antoine Griezmann yakiibeba Atletico Madrid na kutinga katika nusu fainali za michuano hiyo.

Barcelona iliwasili katika Jiji la Madrid ikiwa na ushindi wa mabao 2-1 katika mchezo wa awali lakini uzembe wa mabeki wake ulimfanya Griezmann ambaye alikuwa hana mtu wa kumkaba kupachika bao la kwanza na kisha baadaye kupachika la pili kwa penati.
                                                                   Antoine Griezmann akipachika bao 
                    Wachezaji wa Barcelona wakimlalamikia refa kwa maamuzi yake

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA