WAFANYAKAZI TBL GROUP WAPIMA AFYA ZAO
Mmoja kati ya wafanyakazi akipima afya katika zoezi hilo |
Kampuni ya TBL Group imeendesha zoezi la upimaji wa Afya za wafanyakazi wake ikiwa ni utekelezaji wa kampeni ya Afya kwanza iliyozinduliwa hivi karibuni lengo kubwa likiwa ni kulinda afya za wafanyakazi kiafya pamoja na familia zao.
Zoezi hili limefanyika katika kiwanda cha TBL kilichopo jijini Dar es salaam.
Pichani ni baadhi ya wafanyakazi wakipima afya zao katika zoezi hilo
Picha na TBL
0 comments:
Post a Comment