HIVI NDIVYO WATU MAARUFU AKIWEMO DONALD TRUMP WALIVYOANDIKA MITANDAONI KUHUSU KIFO CHA MUHAMMAD ALI
Dunia imepokea kwa
mshituko taarifa za kifo cha mkongwe na bingwa wa zamani wa masumbwi Muhammad
Ali aliyefariki akiwa na umri wa miaka 74 nchini Marekani alipokuwa
akisumbuliwa na ugonjwa wa kushindwa kupumua.
Wengi wameonekana kuguswa
na msiba huu na kuonesha hisia zao kupitia mitandao ya kijamii ikiwemo
Twitter,Facebook na SnapChart. Katika kurasa hii inakuletea watu maarufu katika
soka siasa na ndondi walivyomzungumzia Muhammad Ali.
0 comments:
Post a Comment