Friday 17 June 2016

KENYA::MWALIMU AFUNGWA JELA MIAKA 90 KWA KUWADHALILISHA KINGONO WATOTO 10

Mwalimu mmoja wa shule ya msingi nchini Kenya amehukumiwa kifungo cha siku 90 jela baada ya mahakama ya Murang'a kumtia hatiani kwa kuwadhalilisha kingono watoto 10 wa kiume.

Hukumu hiyo iliyotolewa jana wakati Afrika ikiadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika, imeagiza mwalimu huyo kutumikia kifungo cha miaka tisa kwa kila mtoto mmoja aliyemdhalilisha.


Kwa hukumu hiyo Mwalimu huyo John Gichia Mugi atatoka gerezani akiwa na umri wa miaka 113 kama ataweza kubakia kuwa hai hadi kufikia umri huo.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA