MADEREVA TBL MWANZA WAPIGWA MSASA KUHUSU UDEREVA WA KUJIHAMI
Mkufunzi, Herbert Kubo akitoa elimu kwa madereva wa Kiwanda cha Bia TBL mkoani Mwanza katika mafunzo ya wafanyakazi hao yaliyofanyika kiwandani hapo jana |
Kampuni ya TBL Group katika
mwendelezo wake wa kuzingatia usalama kazini imeandaa mafunzo kwa madereva wake
wanaosambaza bidhaa zake yanayohusiana na udereva wa kujihami.Mafunzo hayo yatafanyika kwenye
viwanda vyote vya kampuni na yanaendeshwa na mtaalamu kutoka kampuni ya CFAO
Motors Expert Herbert Kubu.
Madereva wa Kiwanda cha Bia TBL mkoani Mwanza wakifuatilia mafunzo yaliyokuwa yakitolewa na Herbert Kubo kiwandani hapo jana
|
0 comments:
Post a Comment