Friday 11 November 2016

BAADA YA WHITE HOUSE HUU NDIO MJENGO ATAKAOHAMIA BARACK OBAMA

Baada ya Donald Trump kutangazwa kuwa mshindi katika kura za Uraisi nchini Marekani, hebu pata nafasi ya kutazama mjengo ambao atakwenda kuishi Barack Obama akishatoka White House.
President Obama and his family will reportedly be renting out this £17,000 a month mansion in Kalorama in Washington
Mjengo huo ambao atakwenda kuishi Barack Obama pamoja na familia yake, unatajwa kuwa maili mbili kutoka na Ikulu ya Marekani “White House” huko washington DC.
Nyumba hiyo imetajwa bei yake kuwa ni £4million na ilikuwa ikimilikiwa na Joe Lockhart mfanyakazi wa White House.
The stunning nine-bedroom mansion has reportedly been named as Obama's new home when Trump takes to the White House

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA