BAADA YA WHITE HOUSE HUU NDIO MJENGO ATAKAOHAMIA BARACK OBAMA

Mjengo huo ambao atakwenda kuishi Barack Obama pamoja na familia yake, unatajwa kuwa maili mbili kutoka na Ikulu ya Marekani “White House” huko washington DC.
Nyumba hiyo imetajwa bei yake kuwa ni £4million na ilikuwa ikimilikiwa na Joe Lockhart mfanyakazi wa White House.

0 comments:
Post a Comment