Friday 11 November 2016

TANZIA: MBUNGE WA DIMANI, HAFIDH ALLY TAHIR AFARIKI DUNIA ALFAJIRI YA LEO DODOMA


Mbunge wa Dimani Tahiri Ally
Hafidh Ally Tahir  (enzi za uhai wake)

Mhe Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tannzaia  anasikitika kuwatangazia kuwa aliekuwa Mbunge wa Jimbo la Dimani, Zanzibar Mheshimiwa Hafidh Ali Tahir amefariki dunia asubuhi ya kuamkia leo katika Hospitali ya General mkoani Dodoma.
Taarifa zaidi kuhusu msiba huu zitatolewa hapo baadae. Mhe Spika anaungana na Wabunge wote katika kuomboleza msiba huu.
Awali Marehemu pia alikuwa mwalimu wa soka kwenye timu ya Bunge Sports Club na mpaka usiku wa Novemba 10 alikuwa pamoja na waheshimiwa wabunge katika vikao.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA