RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA ZAMBIA EDGAR CHAGWA LUNGU IKULU JIJINI DAR ES SALAAM





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akijadiliana jambo kwa furaha na mgeni wake Rais wa Zambia Edgar Chagwa Lungu mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam.

0 comments:
Post a Comment