Wednesday 11 January 2017

MAJALIWA AMTEMBELEA MAMA FATMA KARUME


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mjane wa Rais wa Kwanza wa Serikali ya Mpinduzi ya Zanzibar, Mama Fatma Karume wakati alipomtembelea nyumbani kwake eneo la Maisara Zanzibar Januari 10, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakizungumza na mjane wa Rais wa kwanza wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mama Fatma Karume (katikati wakati walipomtembelea nyumbani kwake eneo la Maisara mjini Zanzibar Januari 10, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mjane wa Rais wa kwanza wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mama Fatma Karume wakati alipomtembelea nyumbani kwake, eneo la Maisara, Zanzibar, Januari 10, 2017.
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa akisalimiana na Mjane wa Rais wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mama Fatma Karume wakati yeye na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa walipomtembelea nyumbani kwake ENEO LA Maisara Zanzibar Januari 10, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary  wakiongozana na Mjane wa Rais wa Kwanza wa  Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mama Fatma Karume  kutoka  ndani  wakati walipomtembelea  mama huyo nyumbani kwake eneo la Maisara mjini Zanzibara, Januari 10, 2017. 


0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA