MATUKIO KATIKA PICHA KWENYE MAHAFALI YA 19 CHUO CHA DIPLOMASIA KURASINI
| Kikundi cha protokali kikiwa katika mipango ya kuhakikisha taratibu zote zinafuatwa |
| Askari wa Bendi ya muziki ya Polisi wakiwaongoza wahitimu, meza kuu pamoja na wahadhiri Chuo cha Diplomasia kuingia katika ukumbi wa sherehe za mahafali ya 19 ya chuo hicho |
| Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Cha Diplomasia, Balozi Ombeni Sefue akiambatana na jopo la viongozi wa meza kuu kuingia katika ukumbi wa sherehe za mahafali ya 19 ya chuo hicho |
| Meza kuu pamoja na Mabalozi wanaowakilisha mataifa yao nchini wakiwa wima wakati Wimbo wa Taifa ukiimbwa |
| Baadhi ya Wahitimu katika ngazi ya Stashahada ya Uzamili wakitunukiwa hadhi ya elimu yao katika mahafali ya 19 ya chuo hicho |
| Baadhi ya Mabalozi wanaowakilisha mataifa yao nchini wakiwa na nyuso za tabasamu wakati wa mahafali hayo |
| Mgeni rasmi akimkabidhi zawadi mmoja kati ya wanafunzi bora katika ngazi ya Stashahada ya uzamili kozi ya Diplomasia ya Uchumi |
| Askari wa Bendi ya muziki ya Polisi wakifurahia jambo katika mahafali hayo |
Mwanafunzi Chuo cha Diplomasia akitumia kipaji chake kutoa burudani kwa njia ya vichekesho katika mahafali hayo
|
| Meza kuu ikiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wana-Protokali waliosimamia vyema taratibu nzima katika mahafali hayo |
| Meza kuu ikiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wahadhiri wa Chuo cha Diplomasia |
| Sehemu ya wageni waliohudhuria mahafali hayo |

0 comments:
Post a Comment